Matthew 10:2-4

2 aHaya ndiyo majina ya hao mitume kumi na wawili: wa kwanza, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye; Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye; 3Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo; 4 bSimoni Mkananayo, na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.

Copyright information for SwhNEN